- Back to Home »
- habari za mastaa »
- Fid Q "Nilistahili Kushinda Tuzo ya Kill, Kila Mtu Amefurahi Baada ya Kunibania kwa Muda Mrefu"
Posted by : ujugu
Jumanne, 6 Mei 2014
Msanii Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo
ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata
kwenye Social Media kila mtu anasifia na kukubali ishindi wake ..Amasema
Amebaniwa Miaka Mingi hiyo tuzo na Hatimae ameipata....
Swali:
- Je huko Nyuma ni Kweli watu walikuwa wanabaniwa Tuzo ?
- Je Utaratibu Mpya wa Kill Awards kupata washindi ni wa Uwazi zaidi ?