Popular Post

Posted by : ujugu Jumanne, 6 Mei 2014


Msanii Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata kwenye Social Media kila mtu anasifia na kukubali ishindi wake ..Amasema Amebaniwa Miaka Mingi hiyo tuzo na Hatimae ameipata....

Swali:
  • Je huko Nyuma ni Kweli watu walikuwa wanabaniwa Tuzo ?
  • Je Utaratibu Mpya wa Kill Awards kupata washindi ni wa Uwazi zaidi ?

Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

comment

- Copyright © MKWERE ORIGINAL - m.media - Powered by Blogger - Designed by M.MEDIA haji mabovu -