- Back to Home »
- MATUKIO »
- MSANII WA COMEDIAN POSA AFARIKI DUNIA LEO SAA 3 ASUBUHI KATIKA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
Posted by : MKWERE ORIGINAL
Jumatatu, 15 Julai 2013
TANZANIA COMEDIAN'S ASSOSIATION inasikitika kukuambia kuwa comedian mwenzetu posa...
amefariki dunia leo saa 3 asubui katika hospitali ya mwananyamala alipokuwa amelazwa taarifa zaidi za msiba utakapokuwepo tutaambiana ila watu bado tupo hospitali tafadhari mjulishe na mwenzio.. R.I.P POSA.kwa habrai na picha kuhusu msanii huyu utazipata hapa hapa KWENYE BLOG YAKO YA MKWERE ORIGINAL