Popular Post

Posted by : ujugu Jumatano, 30 Aprili 2014

Taarifa Zilizotufikia Mchana huu ni Kwamba Mchezaji Kinda wa Dar Young Africa "YANGA" Frank Domayo amesaini Mkataba wa Kuichezea Azam msimu Ujao(Haijajulikana ni Mkataba wa Miaka Mingapi).Ikumbukwe Jana Azam walifanikiwa Kumsajili Mchezaji wa Yanga wa Kimataifa kavumbangu kwa Mkataba wa Miaka 2.

Taarifa zaidi Kukujia hivi Punde

Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

comment

- Copyright © MKWERE ORIGINAL - m.media - Powered by Blogger - Designed by M.MEDIA haji mabovu -