Taarifa Zilizotufikia Mchana huu ni
Kwamba Mchezaji Kinda wa Dar Young Africa "YANGA" Frank Domayo amesaini
Mkataba wa Kuichezea Azam msimu Ujao(Haijajulikana ni Mkataba wa Miaka
Mingapi).Ikumbukwe Jana Azam walifanikiwa Kumsajili Mchezaji wa Yanga wa
Kimataifa kavumbangu kwa Mkataba wa Miaka 2.