- Back to Home »
- habari za mastaa »
- JACKIE CLIFF AMUACHIA WOSIA WAKE MARTIN KADINDA.
Posted by : ujugu
Jumamosi, 28 Desemba 2013
Jackie amekamtwa mapema mwezi huu Macau, China na kilo 1.1 za heroin na sasa anasubiria hatma yake kutokana na kosa hilo la kusafirisha madawa ya kulevya.
Katika maisha kila mtu ana yule rafiki mmoja (BFF) ambaye anamuamini na kumweka moyoni mwake kama ilivyo kwa Jackie na Marin.


