Popular Post

Posted by : MKWERE ORIGINAL Alhamisi, 8 Agosti 2013

Porini nako vituko vitupu, hebu edekshie hii, siku moja panya katika tembea tembea yake si akamkanyaga nyoka. Mzozo ukawa kama ifuatavyo;Nyoka: Oya dogo mbona unanikanyaga?Panya: Dah, sory bro bahati mbaya.Nyoka: Bahati mbaya kitu gani, lione kwanza toto dogo midevu kibaoPanya: aaah nenda zako kule kubwa zima hadi leo linatambaa

Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

comment

- Copyright © MKWERE ORIGINAL - m.media - Powered by Blogger - Designed by M.MEDIA haji mabovu -