Posted by : MKWERE ORIGINALAlhamisi, 8 Agosti 2013
Porini nako vituko vitupu, hebu edekshie hii, siku moja panya
katika tembea tembea yake si akamkanyaga nyoka. Mzozo ukawa kama
ifuatavyo;Nyoka: Oya dogo mbona unanikanyaga?Panya: Dah, sory bro bahati mbaya.Nyoka: Bahati mbaya kitu gani, lione kwanza toto dogo midevu kibaoPanya: aaah nenda zako kule kubwa zima hadi leo linatambaa