Popular Post

Posted by : MKWERE ORIGINAL Alhamisi, 8 Agosti 2013

Jamaa mmoja aitwaye JUMA alivamia sherehe ya harusi ya wanyakyusa na kujifanya  mwanafamilia wa bwana harusi. Wakati wa utambulisho wa ndugu wa bwana harusi wakaanza kusimama mmoja mmoja na kutaja jina lake....

Wa kwanza akasema: Naitwa Mwakalebela
Wa pili akasema: Naitwa Mwakipesile
Wa tatu akasema: Naitwa Mwakasungura
Wa nne akasema: Naitwa Mwasomola
Wa tano akasema: Naitwa Mwakatundu
Ilipofikia zamu ya Juma akafikiriaaa kisha akadhani kuwa kila jina katika kabila lile ni lazima uanze na “MWA”, basi akainuka kwa makonfidensi na kupaza sauti “naitwa MWAJUMA

Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

comment

- Copyright © MKWERE ORIGINAL - m.media - Powered by Blogger - Designed by M.MEDIA haji mabovu -