- Back to Home »
- UDAKU »
- HATIMAYE COLONEL MUSTAPHA AWAOMBA RADHI WANAWAKE WA AFRIKA MASHARIKI
Posted by : ujugu
Alhamisi, 27 Machi 2014
Mustafa ameliambia gazeti la The Star la Kenya:
“Wana sababu za msingi kama wanawake. Nawaomba radhi wanawake wote wa Afrika Mashariki waliochukizwa na picha lakini ningependa kusema kuwa, wanawake kwenye picha hizo hawakulazimishwa kupose. Siku hizi uanamitindo umeingia kwenye kugeuza mwili kuwa sanaa.”
Picha zilizoleta utata ni zile alizopiga Huddah Monroe.

