- Back to Home »
- CHEKA NA MKWERE »
- KICHEKESHO CHA LEO NA MKWERE
Posted by : MKWERE ORIGINAL
Alhamisi, 22 Agosti 2013
1. BABA:"Mbona unafeli kila mtihani mwanangu?"
MTOTO:"Sababu sina akili."
BABA:"Ooh,sasa ngoja nikupige fimbo za kutosha ili
uwe na akili mshenzi
wewe!"
MTOTO:"Ingekuwa fimbo ndio
humfunza mtu kuwa na akili,basi punda
na farasi wangekuwa MAPROFESA."