Popular Post

Posted by : MKWERE ORIGINAL Ijumaa, 19 Julai 2013

Msanii wa film na bongo freva zuwena mohamedi marufu kama shilole ametoa tamko......
Msanii wa film na bongo freva zuwena mohamedi marufu kama shilole ametoa tamko kuwa hakuna mwanaume kama barnaba kwa sababu barnaba alikuwa mwanaume wake wa maisha yake na anampenda sana mpaka leo na anamueshimu sana kwani tangu walipokuwa na uhusiano alikuwa akisaidia familia yake na kusomesha watoto wake so barnaba nampenda sana ni mwanume ambae anajua kum handle mwanamke alisema shilole jana katika kipindi cha MBONI SHOW cha television ya EATV  na kuendeleza kusema kuwa japo barnaba anamwanamke ambae ni mkewe kwa sasa ila bado anamuheshimu na hato msahau

Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

comment

- Copyright © MKWERE ORIGINAL - m.media - Powered by Blogger - Designed by M.MEDIA haji mabovu -